HATIMAYE Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetegua kitendawili cha Wabunge wa Viti Maalumu kutoka vyama vilivyojinyakulia kura kwenye majimbo ya uchaguzi.
Kwa mujibu wa taarifa uiliyotolewa, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepata Wabunge wa kundi hilo 65 kikifuatiwa na CHADEMA viti 23 na CUF 10. Kwa maana hiyo, vyama hivyo vina viti 88 kati ya 100. viwili huenda vikawa turufu ya NCCR Mageuzi ambayo imefanya vizuri kule Kigoma kwa kuzoa viti katika majimbo manne.
Wabunge waliotangazwa na NEC ni kama ifuatavyo;
WABUNGE WA CCM
Ummy Ally Mwalimu
Agness Elias Hokororo
Martha Jachi Umbulla
Lucy Thomas Mayenga
Faida Mohamed Bakari
Felista Alois Burra,
Kidawa Hamid Saleh,
Stella Martine Manyanya
Maria Ibeshi Hewa
Hilda Cynthia Ngoye
Josephine Johnson Genzabuke
Esther Lukago Midimu
Maida Hamad Abdalla
Asha Mshimba Jecha
Zarina Shamte Madabida
Namalok Edward Sokoine
Munde Tambwe Abdallah
Benardetha Kasabago Mushashu
Vick P. Kamata
Pindi Hazara Chana
Fatuma Abdallah Mikidadi
Getrude Rwakatare
Betty E. Machangu
Diana Mkumbo Chilolo
Fakharia Shomari Khamis
Zaynabu Matitu Vulu
Abia Muhama Nyabakari
Pudenciana Kikwembe
Lediana Mafuru Mng’ong’o
Sarah Msafiri Ally
Catherine V. Magige
Ester Amos Bulaya
Neema Mgaya Hamid
Tauhida Galos Cassian
Asha Mohamed Omar
Rita Louis Mlaki
Anna Margreth Abdallah
Dk. Fenella E. Mukangara
Terezya Lwoga Huvisa
Al-Shaymaa Kwegir
Margreth Mkanga
Angellah Jasmin Kairuki
Zainab Rashid Kawawa
Mwanakhamis Kassim Said
Riziki Said Lulida
Devotha Mkuwa Likokola
Mariam Salum Mfaki
Margreth Simwanza Sitta
Subira Khamis Mgalu
Rita E. Kabati
Martha Moses Mlata
Dkt. Maua Abeid Daftari
Elizabeth Nkunda Batenga
Azza Hillal Hamad
Bahati Ali Abeid
Mary Machuche Mwanjelwa
Josephine T. Chengula
Kiumbwa Makame Mbaraka
Roweete Faustine Kasikila
Anastazia Wambura
Mary Pius Chatanda
Wabunge wa CHADEMA
Lucy Owenya, Grace Kiwelu, Rose Kamili, Susan Lyimo, Chiku Abwao, Rachel Mashishanga, Mhonga Ruhwanya, Anna Komu, Leticia Nyerere, Esther Matiko, Anna Malac, Conchester Rwamulaza, Susan Kiwanga, Regia Mtema, Christowaja Mpinda, Mwamrisho Abame, Joyce Mukya, Naomi Kaihula, Christina Lissu, Raya Ibrahim Hamisi, Philipa Mtulano na Mariam Msabaha.
Wabunge wa CUF na NCCR Mageuzi ambao wamepata viti majimboni, watajulikana punde.
No comments:
Post a Comment